Kutana na mtoto wa kwanza msichana kuzaliwa katika familia kwa muda wa miaka 137

September 2024 · 1 minute read

Familia moja Carolina Kusini ilikaribisha mtoto wa kwanza msichana kwa muda wa miaka 137

Kulingana na ABC News, familia hiyo ilifurahi sana kukaribisha mtoto huyo ‘maalum’.

Cha kushangaza ni kuwa mtoto huyo aliwekwa katika bango la futi 12 urefu na futi ukubwa lililoezekwa katika barabara kuu.

Inasemekana bango hilo liliwekwa na marafiki wa babake mtoto huyo Will Settle wanaofanya kazi naye, kumfurahisha.

Habari Nyingine: Jamaa amuanika mpenzi wake kwenye Facebook

Akizungumzia bango hilo Will alisema, “Nilipoliona mara ya kwanza nilishtuka, ni kubwa na linakaa vizuri, hakuna mtu anayeweza kulikosaa.”

Pakua APP mpya ya TUKO upate habari BURE!

Twawapongeza Will na Kelen Settle!

Subscribe to watch new videos

Subscribe to Tuko youtube channel to watch more interesting videos

Read ENGLISH VERSION

Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri: mwangi.muraguri@tuko.co.ke

Chanzo: TUKO.co.ke

ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2BvzmeinmdiaYNyg5hmoq6skaOubrrAZqStp6SkeritjKSumqaqlnquv8icn5qmkWK4tsbApaCwmV2grrW1yppkn5mdnrmqrYykrpplnaqxonnWmmSmoZGgrm%2B006aj