Mwizi anakikiliwa na CCTV akiiba mkoba wa mhudumu dukani

August 2024 ยท 1 minute read

TUKO.co.ke ilipata picha za mwizi aliyeingia ndani ya duka la rejareja na kumwibia mhudumu mkoba wake

Mwizi huyo aliyedhaniwa kuwa mteja na ambaye hajatambulishwa alinakiliwa na CCTV akitekeleza wizi huo.

Kulingana na picha ambazo zimeenea sana, mwanamume huyo wa umri mdogo aliingia ndani ya duka hilo za rejareja na kwenda ndani ya chumba ambacho hutumiwa na wafanyikazi kuweka vitu vyao.

Habari Nyingine: Jaji Mkuu Maraga anaongea lugha ya Raila-William Ruto

Mshukiwa huyo alichukua mkoba wa mhudumu huyo na kuficha nguoni kabla ya kuondoka dukani.

Read ENGLISH VERSION

Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri: mwangi.muraguri@tuko.co.ke

Chanzo: TUKO.co.ke

ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2BvzmeinmdiaoBxgI9mpLChqp56orrApKCkoZyexKJ5zZpknJukq3qit8iimZplnaC8o62MsJhmpZiqsba51GabrqORo7ZvtNOmow%3D%3D